UM wasikitishwa na kifo cha muhamiaji toka Angola
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu za wahamiaji Jorge Bustamante na kundi maalumu la kuangalia matumizi ya askari mamluki leo wamesema wanatiwa hofu na taarifa za kifo cha abiria mmoja aliyekuwa akirejeshwa kwa nguvu Angola kutoka Uingereza.