“Tunaweza kufikia mustakabali ulio na Israel salama na iliyoko kando mwa taifa la Palestina linaloweza kujiendesha na lililo huru. Hii inahitaji juhudi endelevu, za kujitolea na ujasiri wa kisiasa kutoka kwa pande zote."
Sigrid Kaag, Kaimu Mratibu Maalum wa UN kwa Mchakato wa Amani Mashariki ya Kati alipohutubia Baraza la Usalama Februari 2025