
“Hofu yangu ni kipindi kirefu na kikali cha majira ya baridi Ukraine. Tayari madhara ya vita yanazuia watu kufurahia haki zao za kibinadamu. Hali ni mbaya na mwelekeo unatia hofu kubwa.”
Kamishna wa UN kuhusu Haki za Binadamu, Volker Türk akizungumza na waandishi wa habari Kyiv, 7 Desemba 2022