Mzigo wa madeni watwamisha nchi zenye maendeleo duni- UNCTAD
- Nchi zenye maendeleo duni, LDCs zimezidiwa mzigo wa madeni
- Kila mojawapo inatakiwa iingiziwe asilimia 45 ya fedha kwenye uchumi wake
- UNCTAD yataka marekebisoho ya mfumo wa msamaha wa madeni