Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mahabusu nchini Ugiriki ziko katika hali mbaya:Nowak

Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya utesaji Manfred Nowak leo ameonya kwamba magereza nchini Ugiriki zimefurika kupita kiasi na kuwaweka katika hali mbaya maafisa wa polisi wanaokabiliana na mahamiaji wanaoingia nchini humo kupitia Uturuki kila siku.