Mwakilishi wa UM wa masuala ya utesaji kuzuru Ugiriki
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya utesaji anatarajiwa kuzuru Ugiriki kuangazia masuala ya haki za binadamu.
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya utesaji anatarajiwa kuzuru Ugiriki kuangazia masuala ya haki za binadamu.
Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi amejiuzulu wadhifa huo wiki hii.
Ujumbe wa baraza la usalama unaozuru Afrika hii leo umetembelea eneo la El-Fasher kwenye jimbo la Darfur.
Shirika la afya duniani WHO leo limetoa muongozo ambao utawasaidia mamilioni ya watu duniani wenye maradhi yasiyotibika kama ya akili, msongo wa mawazo, mishipa ya fahamu na athari za matumizi ya mihadarati na ulevi wa kupindukia.
Kwa mara ya kwanza wataalamu wa kupinga usafirishaji haramu wa watu kutoka mashirika mbalimbali ya kikanda wamekutana Dakar Senegal katika mpango ulioanzishwa na mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu usafirishaji haramu wa watu, hususan wanawake na watoto.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon kwa mara nyingine ameitaka Israel kusitisha ujenzi wa makazi ya walowezi katika eneo la Wapalestina linalokaliwa Ukingo wa Magharibi.
Athari za kimazingira kutokana na madini ya risasi katika jimbo la Zamfara nchini Nigeria zimesababisha vifo vya mamia ya watu hadi sasa huku maisha ya maelfu ya wengine yakiwa hatarini.
Shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP linatarajiwa kutoa ripoti ya uchunguzi kila siku kwa muda wa siku 30 zijazo ili kuthibitisha kuwa suluhu katika kukabilina na mabadiliko ya hali ya hewa zikiwemo za upanzi wa miti na matumizi ya nguvu za jua vinapatikanana.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kuwa ushirikiano wa kimataifa ndiyo suluu pekee inayoweza kuzikabili changamoto za dunia ikiwemo vitendo vya kigaidi, matatizo ya njaa, uhalifu wa kupangilia na mabadiliko ya tabia nchi.
Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO Irina Bokova leo amelaani vikali mauaji ya mpiga picha wa televisheni wa Iraq aliyeuawa kwenye bomu lililotegwa kwenye gari nje ya mji wa Baghdad.