Miezi michache kabla ya kura ya maoni Sudan kuna masuala ya kutatuliwa:Ban
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kuwa wakati nguvu za kisiasa nchini Sudan zinapoelekezwa kwa kura ya maoni bado tofauti zilizopo kati ya pande zilizo kwenye makubaliano ya amani zinaendelea kuchelewesha maandalizi ya kura hizo.