"Usalama na afya ya wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, wawakilishi wa nchi wanachama na wale wote ambao wanatumia jengo letu, ni kipaumbele cha kwanza. Kurejea kwa wafanyakazi jengoni kutazingatia mapendekezo ya jiji na jimbo la New York, ambayo watafuata kadri yatakavyokuja.” Atul Khare, Msaidizi wa Katibu Mkuu katika Operesheni.