Matukio ya mwaka 2018 .
Leo Jumatatu ya tarehe 31 mwezi Desemba mwaka 2018, mwisho wa mwaka jarida la Habari za Umoja wa Mataifa limemulika matukio muhimu ya mwaka huu wa 2018. Hata hivyo tumekuwekea pia habari zilizogongwa vichwa hii leo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Yemen na Afghanistan.