Uwekezaji kwa wanawake ulivyoleta mabadiliko chanya kwenye jamii mashinani
Maudhui ya siku ya wanawake duniani mwaka huu wa 2024 ni Wekeza kwa Wanawake - Chochea Maendeleo. Maudhui haya tayari yamejidhihirisha wazi kuanzia Afrika, Asia, Mashariki ya Kati, Amerika hadi Ulaya kwani mashirika ya Umoja wa Mataifa yamebeba jukumu la kuchochea kasi ya kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kupitia wanawake. Habari Picha hii ni kithibitisho.
Habari Zaidi katika picha
Pagination
- Page 1
- Next page