UNICEF na ACAKORO wawezesha Irene na Carol kutimiza ndoto yao
Carol Oduor na Irene Oduor ni wasichana mapacha nchini Kenya ambao sasa wana umri wa miaka 20. Tangu utotoni ndoto yao ilikuwa kucheza soka. Ndoto ilitimizwa wakiwa na umri wa miaka 19 kupitia mradi unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF na Kituo cha kuendeleza vipaji vya soka, ACAKORO kilichoko Nairobi nchini Kenya. Kabla ya kushiriki mradi huu, Carol na Irene hawakuwa wanaenda shuleni. Habari Picha hii ni safari yao kwenye kituo cha ACAKORO.
Habari Zaidi katika picha
Pagination
- Page 1
- Next page