Raia wa Yemen ambao wamejikuta wakimbizi kutokana na mapigano yaliyodumu tangu mwaka 2015, wamekuwa wakielezea simulizi zao za mnepo wakati huu ambapo nchi yao inakumbwa na kile ambacho Umoja wa Mataifa unasema ni janga kubwa zaidi la kibinadamu duniani.