Sajili
Kabrasha la Sauti
Miongo ya ukataji miti imesababisha ardhi kutolimika Kaskazini mwa Haiti. Lakini kwa msaada wa serikali, shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani (WFP) na wadau wengine sasa wakulima wanaweza kulima na kuzalisha mazao tena.