Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Ulaya kwa Masuala ya Kigeni na Sera ya Usalama, Josep Borrell, na Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Unyanyasaji wa Kijinsia katika Migogoro, Pramila Patten, wamehimiza nchi zote duniani hasa zile yenye vita kuhakikisha wanaweka kinga ya kuzia unyanyasaji wa kingono kwakuwa “Kinga ni njia bora ya ulinzi”