Violah Cheptoo kupitia Tirop’s Angels asongesha vita dhidi ya ukatili wa kijinsia Kenya
Ulimwengu ukiwa kwenye siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia tunamleta kwako Violah Cheptoo mwanariadha mashuhuri huyu wa kimataifa kutoka Kenya ambaye mwaka 2021 alijikuta akianzisha taasisi ya kupinga ukatili wa kijinsia.