Mabadiliko ya tabianchi yanachangia katika migogoro katika jamii za asili - Alois Porokwa
Mkutano wa 23 wa Jukwaa la Kudumu kuhusu Masuala ya Watu wa Asili, UNPFII uliodumu kwa wiki mbili hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa umefikia tamati leo Aprili 26.