Nchini Kenya, kijana Karinge Mbugua, kwa namna moja au nyingine anashiriki kulitekeleza lengo namba 8 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linalolenga kazi za staha pamoja na ukuaji wa uchumi. Ni kupitia katika kipaji chake cha uchoraji, amewekeza mud ana ujuzi wake katika kazi hiyo ya staha am