Kabrasha la Sauti


Mlipuko mpya wa COVID-19 watishia ndoto za vijana Uganda

Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO kanda ya Afrika hivi karibuni ilionya kuwa awamu ya pili ya janga la ugonjwa wa Corona au

Sauti -
3'54"

Hatma ya Niger mashakani kwani watoto asilimia 99 hawajui kusoma na kuandika

Ikiwa leo ni siku ya mtoto wa Afrika, ndoto za kutimiza ajenda ya bara hilo ya mwaka 2040 ya kuwa na bara la Afrika linalomfaa mtoto wa Afrika ikiwemo katika suala la kupata elimu, kwa Niger huenda lisitimie kwani asilimia 99 ya watoto wenye umri wa miaka 10 ni wajinga wa kutokujua kusoma na kuan

Sauti -
2'37"

Apu za utumaji fedha kwa njia ya simu ni muarobaini wa kupunguza umaskini- Dkt. Minja

Hoja ya IFAD ya athari za COVID-19 katika utumaji wa fedha kifamilia na nafasi ya teknolojia ya simu za mkononi kufanikisha utumaji wa fedha inaungwa mkono na Dkt.

Sauti -
1'48"

Fikisheni teknolojia ya simu kiganjani vijijini nao wanufaike na utumaji fedha kimtandao- IFAD

Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD umesema ingawa kiwango cha wahamiaji kutuma fedha nyumbani kimtandao  wakati wa janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 mwaka 2020 kiliong

Sauti -
2'15"

16 juni 2021

Karibu usikilize Jarida hii leo ambapo Assumpta Massoi anakufahamisha kuhusu siku ya Umoja wa Mataifa ya Utumaji fedha na hali ilivyo, japo bado dunia inapambana na janga la Corona au COVID-19

Sauti -
12'9"

Kijana mchoraji anayetekeleza lengo namba 8 la SDGs

Nchini Kenya, kijana Karinge Mbugua, kwa namna moja au nyingine anashiriki kulitekeleza lengo namba 8 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linalolenga kazi za staha pamoja na ukuaji wa uchumi. Ni kupitia katika kipaji chake cha uchoraji, amewekeza mud ana ujuzi wake katika kazi hiyo ya staha am

Sauti -
3'19"

15 juni 2021

Assumpta Massoi hii leo anaanza jarida kwa kuangazia ripoti ya Shirika la Umoja wa Maraifa la Ajira ambao limetoa ripoti mpya hii leo ikionesha licha ya muongo mmoja wa uwepo wa mkataba wa kimataifa wa haki za wafanyakazi wa ndani,  bado kada hiyo inaendelea kupigania usawa na mazingira bora ya k

Sauti -
13'4"

Umoja wa Mataifa wafundisha wanajeshi wa Lebanon mbinu za medani na usimamizi

Huko nchini Lebanon, ujumbe wa kikosi cha mpito cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, UNIFIL, umefanya mazoezi ya siku tano pamoja na vikosi vya usalama vya taifa hilo, LAF kama sehemu ya kujengea uwezo jeshi hilo la kitaifa kwa ajli ya kuimarisha amani na usalama. Ahimidiwe Olotu na maelezo zaidi

Sauti -
2'25"

Mlipuko wa Nyiragongo wawaacha watu wenye ulemavu hoi bin taaban- UNHCR

Mamia kwa maelfu ya watu waliotawanywa na mlipuko wa volcano wa mlima Nyiragongo Masharki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, sasa wanahitaji msaada wa haraka katika maeneo walikokimbilia na kupata hifadhi kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi

Sauti -

Wafanyakazi wa majumbani wanafanya kupitiliza lakini bado maslahi yao ni duni- Ripoti

Licha ya muongo mmoja wa uwepo wa mkataba wa kimataifa wa haki za wafanyakazi wa ndani,  bado kada hiyo inaendelea kupigania usawa na mazingira bora ya kazi huku janga la ugonjwa wa Corona au COVID19 likionesha dhahiri udhaifu uliopo katika kada hiyo.

Sauti -
2'7"