Tukigeukia sasa siku ya Lugha ya Kiswahili duniani itakayoadhimishwa Alhamisi ya wiki ijayo Julai 7 mmoja wa wakaazi wa Chukwani Zanzibar Ali Yusuf Mwarabu anasema hatua ya lugha hiyo kutambulika kimataifa kwanza ni Fahari kubwa kwa Wazanzibari lakini pia itakuwa ni fursa nzuri kwa wageni wanaoip
Baada ya siku tano za mijadala na maonesho mbalimbali, mkutano wa pili kuhusu baharí umefikia tamati huko Lisbon nchini Ureno ambako Miguel de Serpa Soares ambaye ni Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Ma
Hii leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakwenda nchini Tanzania katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA ambako Mhariri Mwandamizi Onni Sigalla anafafanua maana ya neno Msagaliwa.
Hii leo jaridani Assumpta Massoi pamoja na Habari kwa ufupi kuhusu Ndui ya Nyani au Monkeypox anamulika pia kiswahili nchini Burundi. Je wafahamu miiko iliyokwamisha kiswahili kuchanua nchini Burundi?
Moja ya malengo ya Mkutano wa bahari unaoendelea Lisbon, Ureno, ni kujadili namna ambavyo dunia inaweza kuendelea kunufaika kiuchumi kutokana na uwepo wa bahari.