Chaguo la Mhariri
Makala Maalum
Afya
Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au seli zilizoko katika shingo ya kizazi wengine wakiita mlango wa kizazi.
Habari kwa Picha
Cabo Delgado: Katika raha na shida, UNFPA yafikishia wanawake na wasichana huduma za afya ya uzazi
Cabo Delgado, jimbo lililoko kaskazini mwa Msumbiji likigubikwa na machafuko na vile vile madhara ya mabadiliko ya tabianchi. Zaidi ya watu 850,000 wamesalia kuishi kwenye makazi ya ukimbizi wa ndani iwe kwenye maeneo ya nchi kavu na visiwani kwa muda mrefu, huduma za afya ya uzazi ni shida kupatikana lakini shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, UNFPA linashirikiana na serikali ya Msumbiji kufikisha huduma.
Habari Nyinginezo
Amani na Usalama
Vita huko Gaza kati ya Israel na wanamgambo wa kipalestina Hamas ikiingia mwezi wa tano hii leo Jumatano na kuwa imesababisha vifo va wapalestina 27,585 na takribani 70,000 wamejeruhiwa, Mkuu wa masuala ya misaada ya dharura kwenye Umoja wa Mataifa amekaribisha dalili za mapema za uwezekano wa sitisho la mapigano linaloweza kufanikisha kuachiliwa huru kwa mateka wote waliosalia.
Amani na Usalama
Mratibu wa Misaada ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Ukraine Denise Brown ameelezea wasiwasi wake mkubwa juu ya mfululizo wa kutisha wa mashambulizi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo Jumanne asubuhi.