Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Wanawake Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC walinda amani aw Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu kwenye kikosi cha 5 cha utayari, TANZQRF-5 wameelezea ni kwa vipi wanasongesha ujumbe wa mwaka huu wa siku ya wanawake duniani, wa “Haki, Sheria, Hatua kwa wote Wanawake na Wasichana.”

Habari Nyinginezo

Wanawake Kikao cha 70 cha Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW70 kimefungu pazia hii leo jijini New York Marekani, mwaka huu kikibeba maudhui “Haki, haki ya kisheria na Hatua kwa wanawake na wasichana wote”. Zaidi ya washiriki 9000 wakiwemo wawakilishi wa serikali, asasi za kiraia, Umoja wa Mataifa na mashirika yake na wadau wengine wanatarajiwa kushiriki jukwaa hili litakalokunja jamvi 19 Machi likijumuisha mikutano ya kando 750.
Utamaduni na Elimu Nilipopata taarifa kuwa ninarejea shuleni, nilihisi furaha mno, ndivyo asemavyo Sanita Wilson Lucas, mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13 ambaye alilazimika kuacha masomo ya elimu ya msingi kwa sababu wazazi wake hawakumudu vifaa vya shule.