Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Sheria na Kuzuia Uhalifu Wakati dunia ikikabiliwa na ongezeko la uhalifu wa kupangwa, biashara haramu ya binadamu na matumizi ya dawa za kulevya, mwanamke kutoka Afrika Mashariki amepewa jukumu kubwa la kusaidia kuongoza mapambano ya kimataifa dhidi ya changamoto hizo.

Habari Nyinginezo

Amani na Usalama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekaribisha tangazo kwamba Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya amani yanayojumuisha usitishaji wa mapigano wa haraka na wa kudumu, kufunguliwa tena kwa Mlango wa Bahari wa Hormuz pamoja na mfumo wa kuendeleza mazungumzo ya kisiasa.
Amani na Usalama Mfululizo wa mashambulizi yaliyofanywa katika vitongoji vya kusini mwa mji wa Beirut siku wa kuamkia leo Jumapili umeonesha kwa mara nyingine hali tete ya mazungumzo ya amani yanayoendelea kuhusu Mashariki ya Kati imesema taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo na msemaji wake mjini New York Marekani.