Mkutano wa kikanda ulioandaliwa na shirika la afya ulimwenguni WHO huko Coimbra Ureno, umeyakutanisha mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa na ya kibinadamu ili kujadili mikakati madhubuti kuhusu upatikanaji wa bima ya afya hususan kwa watu wasio na uwezo katika nchi masikini duniani.