Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Tabianchi na mazingira Je, wafahamu kwamba huenda mamilioni ya ndege wanahama kimya kimya hivi sasa juu yako na wala huhitaji kutoka nyumbani ili kuwaona?

Habari Nyinginezo

Malengo ya Maendeleo Endelevu Katika ufunguzi wa Mkutano wa ushirikiano baina ya Afrika na Ufaransa hsa katika masuala ya ubunifu na ukuaji uliopewa jina “Africa Forward” jijini Nairobi Kenya, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amepongeza nchi za Afrika kwa kuwa mstari wa mbele katika kubadili mifumo ya kimataifa, huku akionya kuwa miundo ya zamani ya mamlaka na kuporomoka kwa misaada vinaizuia bara hilo kufikia uwezo wake kamili.
Masuala ya UM Mbio za kumrithi Guterres sasa zimezidi kushika kasi baada ya María Fernanda Espinosa, kutangazwa na Msemaji wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuwa ameingia kwenye kinyang’anyiro hicho na kwamba sasa idadi itakuwa wagombea watano: wanawake watatu na wanaume wawili.