Top News

Wanaotegemea msaada wa kibinadamu wana hali tete

Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa lile la chakula na kilimo FAO na la mpango wa Chakula duniani WFP yameeleza jitihada za kupambana na kuongezeka kwa ukosefu wa usalama wa chakula zinazofanyika katika nchi kadhaa zinashindikana kutokana na kuwepo kwa mapigano na vizuizi ambavyo vimekwamisha ufikishaji misaada ya kuokoa maisha ya familia zinazokabiliwa na njaa. 

Chaguo la Mhariri

Makala Maalum

Shule imetelekezwa kutokana na kufurika kwa maji ya Ziwa Tanganyika nchini Buurndi
IOM 2021/Triffin Ntore
Shule imetelekezwa kutokana na kufurika kwa maji ya Ziwa Tanganyika nchini Buurndi

Ziwa Tanganyika laendelea kufurika, Burundi wahaha, IOM na wadau waingilia kati

Tabianchi na mazingira'Tutafanya nini iwapo maji yataendelea kujaa?’ Hilo ni swali lililogubika kila mtu: Wamiliki wa nyumba, wakandarasi wa ujenzi, wajenzi, wakulima, wachuuzi sokoni, wanafunzi, wasafiri na bila shaka wafanyakazi wa maendeleo na kibinadamu.  

Habari kwa Picha

Wananchi wa Sudan Kusini wakishangilia uhuru wa nchi yao 9 Julai 2011.
UN Photo/Tim McKulka

Miaka 10 ya Uhuru wa Sudan Kusini: Tamu na Shubiri

Leo tarehe 9 Julai 2021, Sudan Kusini inatimiza miaka 10 ya uhuru wake kutoka Sudan! Safari imekuwa chungu lakini Umoja wa Mataifa umeshikamana na nchi hiyo!

Habari Nyinginezo

Jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, maafisa wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, MONUSCO wakipatia vyeti maafisa na askari wa jeshi la taifa, FARDC na jeshi la polisi waliopata mafunzo ya mwezi mmoja ya mbinu za medani.
MONUSCO

MONUSCO yapatia maafisa na askari wa jeshi la DRC pamoja na polisi mbinu za medani  

Amani na Usalama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, MONUSCO umepatia mafunzo ya mbinu za medani na usimamizi wa vilipuzi sambamba na ufyatuaji wa risasi, maafisa na wanajeshi 652 wa vikosi vya jeshi la serikali, FARDC na jeshi la polisi kama njia mojawapo ya kuimarisha ulinzi nchini humo.

Wahudumu wa afya waweka kituo cha chanjo katika shule wilaya ya Dagana.
© UNICEF/SPelden

Asilimia 90 ya wananchi wa Bhutan wapatiwa chanjo dhidi ya Corona

Afya Kiwango cha utoaji wa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona au COVID-19 nchini Bhutan huko barani Asia kimefikia asilimia 90 ya wananchi wote wenye umri wa kupatia chanjo hiyo. Kampeni ya utoaji chanjo imefanywa na serikali ya Bhutan kwa ushirikiano na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF.