Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Masuala ya UM Kwa nini ni muhimu: Uteuzi wa Katibu Mkuu wa 10 wa Umoja wa Mataifa, atakayechukua madaraka kuanzia Januari 2027, unaweza kuathiri diplomasia ya kimataifa, mwitikio wa migogoro duniani, na mwelekeo wa mfumo wa ushirikiano wa kimataifa kwa muongo ujao.

Habari Nyinginezo

Amani na Usalama Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limeeleza wasiwasi mkubwa kufuatia kuuawa kwa wafanyakazi wawili waliokuwa wamepewa kandarasi na shirika hilo ya kusambaza maji safi kwa familia katika Ukanda wa Gaza.
Ukuaji wa Kiuchumi Mawaziri wa kilimo kutoka kote barani Afrika wamekutana mjini Nouakchott, mji mkuu wa Mauritania, kujadili namna ya kuharakisha juhudi za kupunguza njaa kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO).