Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Wanawake “Hakuna kitu kinachochangia mtu yeyote apigwe, auawe au kuchukuliwa mali” Ni Kauli ya Viola Jeptoo Lagat, Mwanariadha na Mchechemuzi wa masuala ya wanawake na wasichana kutoka Kenya, ambaye pia ni Mwanzilishi wa shirika lisilo la kiserikali la Tirop Angels liloloanzishwa wakati mwanariadha mwenzake Agnes Tirop kuuawa aliporejea nyumbani baada ya  kuvunja rekodi za mashindano ya Olimpiki mwaka wa 2021 huko Ujerumani.

Habari Nyinginezo

Masuala ya UM Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) kwa kushirikiana na Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Wanaojitolea (UNV) wamezindua mtandao mpya wa ulezi kwa ajili ya kuwasaidia wahamiaji wanaorejea katika nchi zao za Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Amani na Usalama Dharura inayoendelea kaskazini mwa Msumbiji inazidi kuwa mbaya, huku mashambulizi yanayoendelea kufanywa na makundi yenye silaha yasiyo ya kiserikali katika jimbo la Nampula yakisababisha ongezeko kubwa la wakimbizi wa ndani na kufanya kuwa moja ya mawimbi makubwa zaidi ya wakimbizi wa ndani mwaka huu, umeonya leo Umoja wa Mataifa.