Chaguo la Mhariri
Makala Maalum
Haki za binadamu
Mabadiliko ya tabianchi yanapoendelea kubadili maeneo ya asili ya jamii za wazawa nchini Brazil, kizazi kipya kinageukia utamaduni na majukwaa ya kidijitali kutetea ardhi yao na mustakabali wao.
Habari kwa Picha
Umoja wa Mataifa na juhudi za kupambana na Ebola huko DRC
Tangu kutangazwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliosababishwa na virusi aina ya Bundibugyo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC na Kampala nchini Uganda, mashirika ya Umoja wa Mataifa yakiongozwa na lile la Afya ulimwenguni WHO yamekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kila hatua inachukuliwa katika kudhibiti mlipuko huo, kutibu waliopata maambukizi, kuelimisha jamii kujikinga na ugonjwa huo ili usizidi kuenea. Ndani ya wiki moja tangu kutangazwa kwa janga hilo la afya ya umma, WHO ilifanikiwa kusafirisha vifaa tiba kuingia DRC.
Habari Nyinginezo
Malengo ya Maendeleo Endelevu
Katika kipindi cha miaka 20 tangu kupitishwa kwa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (CRPD), Tanzania imepiga hatua kubwa katika kujenga jamii inayowajumuisha watu wenye ulemavu.
Tabianchi na mazingira
Takriban watu milioni 1.9 nchini Malawi, sawa na asilimia 10 ya idadi ya watu waliofanyiwa tathimini ya uhakika wa chakula, kwa sasa wanakabiliwa na viwango vya janga la ukosefu mkubwa wa chakula, kwa mujibu wa uchambuzi mpya wa wa mfumo wa kutathimini hali ya uhakika wa chakula (IPC).