Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Malengo ya Maendeleo Endelevu Kwa kuwa duniani kuna takriban wakimbizi milioni 42 na shughuli za Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) zinafanyika katika maeneo mbalimbali duniani, (UNHCR) hukusanya na kutumia kiasi kikubwa cha data kutoka vyanzo mbalimbali.

Habari Nyinginezo

Amani na Usalama Nchini Sudan Kusini, Redio ndiyo chanzo kikuu cha taarifa kwa takribani asilimia 60 ya wananchi wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika. Ndiyo maana kuendelea kwa matangazo ya Radio Miraya ambayo yamedumu kwa miaka 20 katika redio hii inayomilikiwa na UNMISS yaani Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani Sudan Kusini ni kipaumbele cha juu katika juhudi zake za kuzuia migogoro na kujenga amani.
Amani na Usalama Mashambulizi na mashambulizi ya kulipiza kisasi kati ya Iran na Marekani katika eneo la Ghuba yamezidisha hofu ya kurejea kwa vita kamili, huku Marekani ikikanusha madai ya Iran kwamba Jumapili ya Julai 12 ilikuwa imefunga Mlango Bahari wa Hormuz, njia muhimu ya kimataifa ya usafirishaji wa meli.