Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Haki za binadamu Mabadiliko ya tabianchi yanapoendelea kubadili maeneo ya asili ya jamii za wazawa nchini Brazil, kizazi kipya kinageukia utamaduni na majukwaa ya kidijitali kutetea ardhi yao na mustakabali wao.

Habari Nyinginezo

Malengo ya Maendeleo Endelevu Katika kipindi cha miaka 20 tangu kupitishwa kwa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (CRPD), Tanzania imepiga hatua kubwa katika kujenga jamii inayowajumuisha watu wenye ulemavu.
Tabianchi na mazingira Takriban watu milioni 1.9 nchini Malawi, sawa na asilimia 10 ya idadi ya watu waliofanyiwa tathimini ya uhakika wa chakula, kwa sasa wanakabiliwa na viwango vya janga la ukosefu mkubwa wa chakula, kwa mujibu wa uchambuzi mpya wa wa mfumo wa kutathimini hali ya uhakika wa chakula (IPC).