Vichwa vya Habari
Chaguo la Mhariri
Makala Maalum
Masuala ya UM
Tamaa ya maisha ya Kaloenic Ilac, au Kale, mwenye umri wa miaka 16, imekuwa ni kusafiri hadi New York Marekani na kutembelea Umoja wa Mataifa.
Habari kwa Picha
UNICEF na ACAKORO wawezesha Irene na Carol kutimiza ndoto yao
Carol Oduor na Irene Oduor ni wasichana mapacha nchini Kenya ambao sasa wana umri wa miaka 20. Tangu utotoni ndoto yao ilikuwa kucheza soka. Ndoto ilitimizwa wakiwa na umri wa miaka 19 kupitia mradi unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF na Kituo cha kuendeleza vipaji vya soka, ACAKORO kilichoko Nairobi nchini Kenya. Kabla ya kushiriki mradi huu, Carol na Irene hawakuwa wanaenda shuleni. Habari Picha hii ni safari yao kwenye kituo cha ACAKORO.
Habari Nyinginezo
Amani na Usalama
Taarifa kutoka mpango wa Umoja wa Mastaifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC zinasema hali katika Mashariki mwa nchi hiyo bado ni ya wasiwasi mkubwa , huku kukiwa na ripoti za mapigano kati ya wanajeshi wa serikali FRDC na kundi la wapiganaji la M23 kusini na kusini-mashariki mwa eneo la Kitchanga, katika jimbo la Kivu Kaskazini.
Malengo ya Maendeleo Endelevu
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO Gilbert F. Houngbo yuko ziarani nchini Senegal, ikiwa ni ziara yake ya kwanza kufanywa na kiongozi wa shirika hilo nchini humo.