Skip to main content

UN News

Makala Maalum

Malengo ya Maendeleo Endelevu Kupunguza upotevu na utupaji wa chakula kuna jukumu muhimu katika kubadilisha mifumo ya kilimo na chakula. Kati ya malengo 17 ya Maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa ambayo yanafikia kilele mwaka 2030 lengo namba 2 linahimiza kutokomeza njaa, lengo namba 8 linahimiza kazi nzuri na ukuaji wa kiuchumi na lengo namba 12 lina himiza utumiaji na uzalishaji wenye kuwajibika lengo likiwa kuwa na mifumo endelevu ya utumiaji wa rasilimali. Malengo yote haya yanaenda sambamba na harakati za kupunguza upotevu na utupaji wa chakula.

Habari Nyinginezo

Msaada wa Kibinadamu Mwaka mmoja tangu mafuriko makubwa yakumbe Pakistan, bado usaidizi unasuasua na hii leo viongozi waandamizi wa Umoja wa Mataifa wamekutana kwenye kikao maalum na kutoa ahadi za usaidizi zaidi wakati taifa hilo la Asia likiendelea na mchakato mgumu wa kujijenga upya.
Amani na Usalama Mratibu Maalum wa Umoja wa Mataifa wa Mchakato wa Amani ya Mashariki ya leo Jumatano ameelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu upanuzi usiokoma wa makazi ya walowezi wa Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikiwemo Jerusalem Mashariki.