Siku za UN

Punguzeni Gharama ya utumaji fedha:Guterres

“Nawasihi wadau wote kuendelea na juhudi za kupunguza gharama za kuhamisha fedha duniani, gharama hizo zipungue na hata zikaribia sifuri, maana hii ni huduma muhimu sana, hasa kwa nchi zinazoendelea.”

Apu za utumaji fedha kwa njia ya simu ni muarobaini wa kupunguza umaskini- Dkt. Minja

Hoja ya IFAD ya athari za COVID-19 katika utumaji wa fedha kifamilia na nafasi ya teknolojia ya simu za mkononi kufanikisha utumaji wa fedha inaungwa mkono na Dkt.

Sauti -
1'48"

Fikisheni teknolojia ya simu kiganjani vijijini nao wanufaike na utumaji fedha kimtandao- IFAD

Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD umesema ingawa kiwango cha wahamiaji kutuma fedha nyumbani kimtandao  wakati wa janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 mwaka 2020 kiliong

Sauti -
2'15"

16 juni 2021

Karibu usikilize Jarida hii leo ambapo Assumpta Massoi anakufahamisha kuhusu siku ya Umoja wa Mataifa ya Utumaji fedha na hali ilivyo, japo bado dunia inapambana na janga la Corona au COVID-19

Sauti -
12'9"

Teknolojia imetuokoa wakati wa COVID-19 kusaidia jamaa nyumbani:DKT.Minja

“Zile fedha ambazo tunazituma zinamchango mkubwa sana sio tu kwa familia hata kwa jamii nzima kwa ujumla kwa maana ya kiuchumi .”  Dkt. Frank Minja 

Utumaji fedha kimtandao ulinusuru familia za kijijini mwaka 2020 

Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD umesema ingawa kiwango cha wahamiaji kutuma fedha nyumbani kimtandao  wakati wa janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 mwaka 2020 kimeongezeka, bado kaya za vijijini zilishindwa kunufaika vyema na utumaji huo kutokana na kukosa miundombinu ya kidijitali ya kupokea fedha hizo. IFAD imesema hayo ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya familia kutumiana fedha.

Janga la COVID-19 limeongeza ukatili dhidi ya wazee: mtaalam wa UN aonya

Wakati mitazamo ya zamani kuhusu uzee tayari inadhoofisha uhuru wa wazee katika kufanya uchaguzi na maamuzi yao wenyewe, janga la COVID-19 limeleta zahma zaidi, dhuluma na kutelekezwa dhidi watu hao, ameonya leo mtaalam huru wa  haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, katika ujumbe wake kuhusu Ulimwengu siku ya kimataifa ya uelimishaji kuhudu ukatili dhidi ya wazee.

COVID-19 yasababisha kupungua kwa kiwango cha uchangiaji damu Afrika- WHO 

Leo ni siku ya kuchangia damu duniani ambapo kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani,  WHO mwaka huu siku hiyo inajikita na vijana na mchango wao katika kuokoa maisha kwa kujitolea damu. Kauli mbiu ikiwa“Toa damu na kuhakikisha dunia inaendelea kuishi”.  

Heko mliojitoa kimasomaso kutetea wenye ualbino- Guterres

Leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu watu wenye ualbino ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameelezea mshikamano wake na watu wenye ualbino.

Tunapoichafua bahari tunaumia wenyewe: Guterres

Leo ni siku ya ya Bahari duniani, katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake wa maadhimisho ya siku hii, ametoa wito wa kuacha kuchafua bahari kwani inaathiri zaidi wanufaika wake ambao wengi ni wafanyabiashara wadogo kutoka nchi zinazo endelea.