Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mwanajeshi kutoka Burkina Faso akiwa katika ulinzi kwenye mpaka wa Mali na Niger wakati wa operesheni ya kijeshi dhidi ya washukiwa wa ugaidi.
© Michele Cattani

UN yaeleza kusikitishwa na ripoti za mauaji nchini Burkina Faso

Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu OHCHR imeeleza kusikitishwa sana na ripoti za mauaji ya idadi kubwa ya raia, ikiwa ni pamoja na watoto, katika vijiji kadhaa katika majimbo ya Yatenga na Soum yaliyoko kaskazini mwa nchi ya Burkina Faso katika miezi ya hivi karibuni katika mazingira ya jumla ya mapigano kati ya makundi yenye silaha na vikosi vya Burkinabè.