MUNUSCO yasherehekea miaka 65 ya UM mjini Ben DR Congo
Umoja wa Mataifa umeadhimisha miaka 65 tangu kuanzishwa tarehe 24 Oktober 1945. Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa na dunia kwa ujumla imeungana na Umoja wa Mataifa katika shamrashamra hizo hasa kwa kutambua umuhimu wa chombo hiki cha kimataifa.