Uchina inakuwa kwa kasi na kwa ushawishi mkubwa:Ban
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amehitimisha ziara yake nchini Uchina hii leo kwa hotoba maalumu.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amehitimisha ziara yake nchini Uchina hii leo kwa hotoba maalumu.
Umoja wa Mataifa leo umezindua ombi la msaada wa dola milioni karibu 39 kwa ajili ya Djibouti. Msaada huo utasaidia kutoa huduma za kibinadamu kwa watu 120,000 walioathirika na ukame nchini humo uliolikumba eneo la Afrika ya Mashariki tangu 2005.
Mashirika ya miasaada yanayosaidia nchini Benini kukabiliana na athari za mafuriko yamezindua ombio la msaada wa dola milioni 47 ili kuwanusuru maelfu ya watu waliosambaratishwa na mafuriko hayo.
Je fadhila kidogo inaweza kubadili maisha? Mmoja wa wafanyakazi wa Umoja wa mataifa Chris Mburu anasema bila shaka.
Vitendo vya uchukuaji watu mateka kwenye jimbo la Darfur Sudan vimeendelea kuutia hofu Umoja wa Mataifa amesema mkuu wa idara ya usalama ya Umoja wa Mataifa.
Shirika la afya duniani linandaa mkutano wa kisayansi wa kimataifa wa siku nne kujadili masuala ya afya na kemikali ya bisphenol A au BPA.
Kituo cha shirika la kimataifa la uhamiaji IOM kwa sasa kinasadia kutoa habari kwa waathiriwa wa mafuriko nchini Pakistan kuhusu ni wapi wanaweza kupata huduma za kibinadamu na jinsi ya kuzipata.
Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM juma hili linatarajiwa kuanzisha shughuli ya dharura ya kufunguliwa tena kwa barabara ya Dungu-Duru-Bitima nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo baada ya kutotumiwa kutokana na sababu za kuwa katika hali mbaya na ukosefu wa usalama.
Chama cha kimataifa cha mawasiliano kimepeleka mitambo 100 ya mawasiliano ya satellite kwenye maeneo yaliyokumbwa na mafuriko nchini Pakistan.
Mashirika ya kibinadamu yanaendelea kutoa misaada kwa watu walioathirika na mafuriko nchini Benin wakati mvua bado zikiendelea kunyesha kote nchini na kufanya viwango vya mto Niger ulio kaskazini kupanda hadi kuzua wasiwasi.