Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Dola milioni 39 zahitajika kuisaidia Djibouti:UM

Umoja wa Mataifa leo umezindua ombi la msaada wa dola milioni karibu 39 kwa ajili ya Djibouti. Msaada huo utasaidia kutoa huduma za kibinadamu kwa watu 120,000 walioathirika na ukame nchini humo uliolikumba eneo la Afrika ya Mashariki tangu 2005.

Shughuli zimeanza kufungua barabara nchini DRC:IOM

Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM juma hili linatarajiwa kuanzisha shughuli ya dharura ya kufunguliwa tena kwa barabara ya Dungu-Duru-Bitima nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo baada ya kutotumiwa kutokana na sababu za kuwa katika hali mbaya na ukosefu wa usalama.