UM kupeleka mahema Benin kufuatia mafuriko
Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR juma hili limeaanza kusafirisha kwa dharura mahema kwenda nchini Benin taifa lililo Afrika Magharibi wakati linapoendelea kushuhudia mafuriko mabaya zaidi ambayo hayajatokea kwa miongo kadha.