UM kutathimini visa zaidi ya 300 vya watu kutoweka
Kitengo cha Umoja wa Mataifa kinachohusika na kutoweka kwa hiyari ay kwa lazima WGEID kimeanza kutathimini zaidi ya matukio 300 ya watu kutoweka.
Kitengo cha Umoja wa Mataifa kinachohusika na kutoweka kwa hiyari ay kwa lazima WGEID kimeanza kutathimini zaidi ya matukio 300 ya watu kutoweka.
Wakati huohuo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema linahofia ongezeko la wakimbizi wa ndani kutokana na machafuko nchini Afghanistan.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema serikali ya Kenya imewataka wakimbizi 8000 wa Kisomali kwenye mji wa Mandera Kaskanizi Mashariki mwa nchi kurejea nyumbani.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amehitimisha ziara yake nchini Uchina hii leo kwa hotoba maalumu.
Umoja wa Mataifa leo umezindua ombi la msaada wa dola milioni karibu 39 kwa ajili ya Djibouti. Msaada huo utasaidia kutoa huduma za kibinadamu kwa watu 120,000 walioathirika na ukame nchini humo uliolikumba eneo la Afrika ya Mashariki tangu 2005.
Mashirika ya miasaada yanayosaidia nchini Benini kukabiliana na athari za mafuriko yamezindua ombio la msaada wa dola milioni 47 ili kuwanusuru maelfu ya watu waliosambaratishwa na mafuriko hayo.
Je fadhila kidogo inaweza kubadili maisha? Mmoja wa wafanyakazi wa Umoja wa mataifa Chris Mburu anasema bila shaka.
Vitendo vya uchukuaji watu mateka kwenye jimbo la Darfur Sudan vimeendelea kuutia hofu Umoja wa Mataifa amesema mkuu wa idara ya usalama ya Umoja wa Mataifa.
Shirika la afya duniani linandaa mkutano wa kisayansi wa kimataifa wa siku nne kujadili masuala ya afya na kemikali ya bisphenol A au BPA.
Kituo cha shirika la kimataifa la uhamiaji IOM kwa sasa kinasadia kutoa habari kwa waathiriwa wa mafuriko nchini Pakistan kuhusu ni wapi wanaweza kupata huduma za kibinadamu na jinsi ya kuzipata.