FAO yazindua kalenda ya kilimo kwa Afrika
Shirika la chakula na kilimo duniani FAO limezindua mfumo mpya wa kalenda kwa ajili ya nchi za Africa ambao utakuwa ukitoa mwongoza na maelekeo juu ya mazao yapi yanafaa kulimwa.
Shirika la chakula na kilimo duniani FAO limezindua mfumo mpya wa kalenda kwa ajili ya nchi za Africa ambao utakuwa ukitoa mwongoza na maelekeo juu ya mazao yapi yanafaa kulimwa.
Watu takribani 5000 kutoka Sudan Kusini wamevuka mpaka na kuingia nchini Kenya wakikimbia machafuko na ukame.
Wataalamu binafsi sita wa Umoja wa Mataifa leo wamelaani vikali mauji ya kikatili ya karibuni yaliyofanywa hadharani dhidi ya wasichana wawili wa katikati mwa Somalia.
Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia na ujumbe wake wamefanya mazungumzo na Rais wa Somaliland Ahmed Mohamed Mohamed Silanyo.
Shirika la afya duniani WHO leo limezindua ripoti muhimu kabisa kuwahi kutolewa kuhusu hatua zilizopigwa kukabiliana na ugonjwa wa kifua kikuu (TB) 2010.
Shirika la afya duniani WHO linasema mlipuko wa ugonjwa wa polio umeuwa watu takribani 100 nchini Congo Brazzaville.
Msaada mkubwa wa kisiasa unahitajika ili kufikia malengo ya maendeleo ya milenia yaliyowekwa na viongozi wa dunia mwaka 2000 ya kutokomeza umasikini, elimu ya msingi kwa wote na kupambana na maradhi ifikapo 2015.
Rwanda imetoa msaada wa dola milioni moja kwa mfuko wa kimataifa yaani Global Fund kwa ajili ya kupambana na ukimwi, kifua kikuu na malaria.
Shughuli ya kutoa chanjo dhidi ya ugonjwa kwa Surua nchini India inayofadhiliwa na shirika la kuwahudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF na lile la afya duniani WHO imeng\'oa nanga
Wakati viongozi wa dunia wanapokusanyika mjini Seoul nchini Korea Kusini kwenye mkutano wa nchi zilizostawi na zile zinazoinukia kiuchumi za G20, mkurugenzi wa shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP Achin Steiner ametoa wito kwa viongozi hao kutumia ahadi zao za awali katika kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa na pia katika kujikwamua kutoka kwa hali mbaya ya uchumi.