Jitokezeni kupiga kura yasema MINUSTAH Haiti
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Haiti umesema kuwa kuwepo kwa utulivu wa kisiasa na kukua kwa uchumi wa nchi hiyo kunategemea kwa upande mwingine idadi kubwa ya watu watakaojitokeza kupiga kura wakati wa duru ya pili ya uchaguzi wa urais unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki.