Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Ukuaji miji Afrika unaathiri maji na usafi:UNEP

Ukuaji wa haraka wa miji katika miongo mitano iliyopita barani Afrika unabadili sura ya bara hilo na pia kuleta changamoto kwa usambazaji wa maji na huduma za usafi imesema ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP iliyotolewa leo.

Libya lazima itekeleze azimio la baraza la usalama:UM

Wakati Uingereza, Ufaransa na Marekani wakiendelea na mashambulizi ya makombora dhidi ya maeneo na serikali ya Muammar Qadhafi wa Libya kwa nia ya kuetekeleza azimio la baraza la usalama la vikwazo vya anga nchini humo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amerejea wito wake wa serikali ya Libya kutekeleza azimio la baraza la usalama.