UNFPA kuzindua ripoti ya kwanza kabisa kuhusu ukunga
Shirika la Umoja la Mataifa la kutetea maslahi ya watu UNFPA linatarajiwa kuzindua ripoti ya kwanza kabisa kuhusu ukunga mwezi Juni mwaka huu.
Shirika la Umoja la Mataifa la kutetea maslahi ya watu UNFPA linatarajiwa kuzindua ripoti ya kwanza kabisa kuhusu ukunga mwezi Juni mwaka huu.
Tume iliyobuniwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuchunguza usaidizi unaotolewa katika kuokoa maisha kwenye nchi zinazoendelea imetoa mapendekezo yake mapya.
Ripoti ya shirika la afya duniani WHO inasema kuwa watu wengi zaidi wanakabiliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa.
Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR linasema kuwa hali nchini Ivory Coast kwa maelfu ya raia wa nchi hiyo inatia wasiwasi hata baada ya kuimarishwa kwa usalama kote nchini.
Mashirika ya kimataifa ya kutoa huduma za kibinadamu likiwemo shirika la kimataifa la uhamiaji IOM na kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC wanaendelea kutoa usaidizi mji Benghazi nchini Libya.
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wakimbizi wanaohama kutoka katika eneo la milima ya Magharibi mwa Libya na kuingia nchini Tunisia kufuatia kuzuka upya kwa mashambulizi baina ya vikosi vya serikali na vikosi vya waasi wiki iliyopita.
Katika hali ambayo sokomoko la mabadiliko ya tabia nchi likiendelea kuziandama nchi mbalimbali, huku pia kukishuhudiwa kupanda kwa bei ya vyakula.
Leo ni siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari na kauli mbiu mwaka huu ni "vyombo vya habari karne ya 21, mipaka mipya na vikwazo vipya" ikijikita katika ongezeko la jukumu la internet na mtandao mpya wa mawasiliano.
Viongozi wa kisiasa kote duniani wametakiwa na mkuu wa idara ya uchumi na masuala ya siasa wa Umoja wa Mataifa Sha Zhukang kuhakikisha kunakuwa na uwezekano wa usafiri wa gharama nafuu kwa wote.
Kuna uwezekano wa watu zaidi ya bilioni moja wakapoteza maisha ndani ya karne hii kutokana na matumizi ya tumbaku, iwapo juhudi za haraka hazitachukuliwa kunusuru hali hiyo hasa mataifa yenye kipato cha chini na wastani.