UM waainisha mipango ya kukabiliana na tishio la usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati
Umoja wa Mataifa umependekeza kuimarisha uwezo wa serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) ili kuiwezesha kukabiliana vilivyo na changamamoto za usalama na za kibinadamu wakati vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa vitakapoondoka.