Wakenya wamemaliza kupiga kura ya maoni ya katiba kwa amani na utulivu
Wananchi wa Kenya leo wamepiga kura ya maoni ya katiba mya kwa amani na utulivu. Kura hiyo iliyoelezwa kuwa ni muhimu sana imeshuhudia idadi kubwa ya watu waliojitokeza kushiriki.