Utamadunia wa kuvumiliana katika dini ni muhimu:Ban
Umoja wa Mataifa unasukuma mbele utu wa kuvumiliana miongoni mwa imani tofauti za kidini, na hatua ya hivi karibuni ya kuchomwa moto kitabu kitakatifu cha Koran nchini Marekani, ni eneo mojawapo ambalo umoja huo wa mataifa unasisitiza kuwa lazima jamii ziendelea kuwa na subra ya kuvumiliana.