Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Utamadunia wa kuvumiliana katika dini ni muhimu:Ban

Umoja wa Mataifa unasukuma mbele utu wa kuvumiliana miongoni mwa imani tofauti za kidini, na hatua ya hivi karibuni ya kuchomwa moto kitabu kitakatifu cha Koran nchini Marekani, ni eneo mojawapo ambalo umoja huo wa mataifa unasisitiza kuwa lazima jamii ziendelea kuwa na subra ya kuvumiliana.

Kasri la Gbagbo lashambulia mjini Abdjan

Taatrifa kutoka mjini Abdjan nchini Ivory Coast zinasema masjeshi yanayompinga Rais Laurent Gbagbo aliyegoma kuondoka madarakani leo wameshambulia kasri la kiongozi huyo ambamo amejificha kuhofia usalama wake.