Biachara ya bidhaa zilizovumbuliwa itasaidia maendeleo:UM
Bishara ya bidhaa na huduma zinazovumbuliwa vimetajwa kama moja ya njia ya kuinua uchumi hususan kwenye nchi zinazoendelea.
Bishara ya bidhaa na huduma zinazovumbuliwa vimetajwa kama moja ya njia ya kuinua uchumi hususan kwenye nchi zinazoendelea.
Ban Ki-moon atafanya ziara Jumatau katika chuo kikuu cha Pennsylvania katika jimbo la Philadelphia kuzindua kikao cha tano cha kongamano la wakuu wa vyuo vikuu, alisema msemaji wake.
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu uhuru wa kidini au imani Heiner Bielefeldt amepongeza mazingira ya uwazi na kuvumiliana nchini Paraguay katika ngazi ya jamii na serikali kwa ujumla.
Shirika la chakula na kilimo FAO leo limeonya kwamba kuna uwezekano wa athari kubwa za mabadiliko ya hali ya hewa kukumba uzalishaji wa chakula.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon leo amezindua ofisi mpya za shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP na shirika la makazi duniani UN-HABITAT mjini Nairobi Kenya.
Mionzi ya nyuklia inayoendelea kuvuja kwenye mtambo wa Fukushima Daiichi nchini Japan umewafanya maelfu ya raia wa nchi hiyo kusalia na wasiwasi wa afya zao.
Gharama kubwa za chakula zimezuia watu milioni 19.4 katika nchi za Asia -Pacific kujikwamua na umasikini mwaka jana imesema ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo.
Ripoti hiyo iliyozinduliwa leo iitwayo uniting for universal access inasisitiza uvumilivu sufuri dhidi ya maambukizi ya HIV, ubaguzi na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon kwa ushirikiano na mkurugenzi mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi UNAIDS Michel Sidibe leo wamezindua rasmi ripoti ya Ukimwi mjini Nairobi Kenya.
Baraza la usalama leo limeamua kuidhinisha vikwazo vilivyoainishwa kwenye azimio namba 1572 la mwaka 2004 dhidi ya baadhi ya watu nchini Ivory Coast.