Watu kadhaa wanashikiliwa na serikali na upinzani Libya
Watu zaidi ya 180 wanashikiliwa na majeshi ya serikali nay a upinzani nchini Libya imesema tume ya Umoja wa mataifa ya inayochunguza ukiukaji wa haki za binadamu nchini Libya.
Watu zaidi ya 180 wanashikiliwa na majeshi ya serikali nay a upinzani nchini Libya imesema tume ya Umoja wa mataifa ya inayochunguza ukiukaji wa haki za binadamu nchini Libya.
Uwezekano wa kilimo kuchangia katika ukuaji wa uchumi na maendeleo Afrika ndio ajenda kuu katika mkutano wa wakuu wan chi, mawaziri wa kilimo, wataalamu na viongozi wa sekta binafsi wanaokutana leo mjini Cape Town nchini Afrika ya Kusini.
Mashirika yakiwemo shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF na lile la Save the Children yanasema kuwa biashara inastahili kuchangia katika kuweka viwango vya kibiashara vya kimataifa kuambatana na haki za watoto.
Shirika la Umoja la Mataifa la kutetea maslahi ya watu UNFPA linatarajiwa kuzindua ripoti ya kwanza kabisa kuhusu ukunga mwezi Juni mwaka huu.
Tume iliyobuniwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuchunguza usaidizi unaotolewa katika kuokoa maisha kwenye nchi zinazoendelea imetoa mapendekezo yake mapya.
Ripoti ya shirika la afya duniani WHO inasema kuwa watu wengi zaidi wanakabiliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa.
Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR linasema kuwa hali nchini Ivory Coast kwa maelfu ya raia wa nchi hiyo inatia wasiwasi hata baada ya kuimarishwa kwa usalama kote nchini.
Mashirika ya kimataifa ya kutoa huduma za kibinadamu likiwemo shirika la kimataifa la uhamiaji IOM na kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu ICRC wanaendelea kutoa usaidizi mji Benghazi nchini Libya.
Kumekuwa na ongezeko kubwa la wakimbizi wanaohama kutoka katika eneo la milima ya Magharibi mwa Libya na kuingia nchini Tunisia kufuatia kuzuka upya kwa mashambulizi baina ya vikosi vya serikali na vikosi vya waasi wiki iliyopita.
Katika hali ambayo sokomoko la mabadiliko ya tabia nchi likiendelea kuziandama nchi mbalimbali, huku pia kukishuhudiwa kupanda kwa bei ya vyakula.