Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Maelfu ya Walibya wakimbilia Tunisia:UNHCR

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wakimbizi wanaohama kutoka katika eneo la milima ya Magharibi mwa Libya na kuingia nchini Tunisia kufuatia kuzuka upya kwa mashambulizi baina ya vikosi vya serikali na vikosi vya waasi wiki iliyopita.