06 OKTOBA 2021
Leo katika Jarida la Umoja wa Mataifa Assumpta Massoi anakuletea
-Janga la utapiamlo limefurutu ada nchini Afghanistan , huku mabadiliko ya tabianchi na vita vinadhidisha madhila kwa watoto na familia zao yameonya mashirika ya Umoja wa Mataifa la UNICEF na WFP
-Mradi wa uvuvi wa shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO ujulikanao FISH4ACP baada ya kushamiri Kigoma Tanzania sasa umehamia mkoani Katavi kuwaletea nuru wavuvi