Jarida 24 Septemba 2021
Pakua
Ni Ijumaa ya tarehe 24 mwezi Septemba mwaka 2021 karibu kusikiliza jarida na kama ilivyo ada ya kila Ijumaa tunakuletea mada kwa kina ambapo leo tunakuletea sehemu ndogo ya mahojiano marefu na Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania baada ya hapo jana kuhutubia kwa mara yake ya kwanza katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
12'6"