Jarida 31 Agosti 2021
Katika Jarida hii leo Grace Kaneiya atakujuza kuhusu vyeti vya Covid-19 kwa njia ya kielektroniki.
Pia utasikia namna matumizi ya tehama yalivyowasaidia wanafunzi nchini Kenya kuongeza ufaulu na kupunguza utoro na huko Bangladesh wakulima wanafurahia uwekezaji wa FAO.
Karibu usikilize kwa undani.