Jarida 27 Septemba 2021
Pakua
Karibu kusikiliza jarida ambapo hii leo utasikia sehemu ya pili ya mahojiano yaliyofanywa na Anold Kayanda na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Pia utasikia habari kwa ufupi zikiangalizia siku ya utalii duniani ambayo huadhimishwa leo Septemba 27.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
12'40"