Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 23 Septemba 2021

Jarida 23 Septemba 2021

Pakua

Ni Alhamisi  ya tarehe 23  ya mwezi Septemba mwaka 2021 siku ya tatu ya mjadala mkuu wa mikutano ya ngazi ya juu ya Umoja wa Mataifa

Miongoni utakayo sikia kwenye jarida hii leo ni pamojana Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassana ahutubia mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa mataifa, UNGA76 akizungumziamasuala kadhaa ikiwemo ushirikiano wa kimataifa na ahadi yake kwa jumuiya ya kimataifa. Halikadhalika tunakwenda Ethiopia na pia Cameroon. Makala ni Uganda na mashinani tunakutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, karibu na mwenyeji wako ni Flora Nducha.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
9'56"