Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 30 Septemba 2021

Jarida 30 Septemba 2021

Pakua

Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya sekta ya bahari , janga la corona au COVID-19 limethibitisha umuhimu wa bahari na kujitolea kwa mamilioni ya mabaharia wanaofanyakazi katika sekta hiyo amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres.

Karibu usikilize jarida linaloletwa kwako na Assumpta Massoi ambapo atakujuza kwa undani taarifa hiyo na nyingine nyingi.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
12'14"