30 APRILI 2021
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo ikiwa ni mada kwa kina Grace Kaneiya anakuletea
-Ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kuhusu ukimwi imependekeza masuala 10 ya kuzingatia kutokomeza janga hilo ifikapo 2030 na kutimiza ajenda ya SDGs.
-Shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu OCHA limeelezea kusikitishwa kwake na athari za ongezeko la mashambulizi dhidi ya wahudumu wa misaada ya kibinadamu nchini Sudan Kusini