Jarida la Habari

28 MACHI 2023

Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina ambapo tutamsikia Spika wa Bunge la Tanzania. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo kutoka UNICEF, ILO na OHCHR.  Mashinani tunakupeleka  nchini Malawi.

Sauti
12'38"

27 MACHI 2023

Jaridani leo tunaangazia Afya na elimu. Makala tunasalia hapa makao makuu kufuatilia kazi ya vijana katika kutafuta suluhisho endelevu la upatikanaji wa maji barani Afrika na mashinani tutaelekeanchini Tanzania, kulikoni?

Sauti
13'23"

24 MACHI 2023

Jaridani leo tunaangazia siku ya kifua kikuu duniani na tunaelekea nchini Kenya. Pia tunakuletea yaliyojiri makao makuu katika mkutano wa maji.  Makala tunakupeleka DRC na Mashinani tunarejea makao makuu, kulikoni?

Sauti
13'14"

23 MACHI 2023

Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina ambapo Mkutano wa 67 wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani, CSW67 umekunja jamvi baada ya kufanyika kwa takribani wiki mbili! Maudhui yalikuwa ni vipi teknolojia na uvumbuzi vinaweza kumkwamua mwanamke na msichana katika zama za kidijitalitunaangazia, na Getrude Dyabene, Afisa kutoka Kituo cha Msaada wa Sheria na haki za binadamu nchini Tanzania atakueleza washiriki waliondoka na ujmbe gani.  Pia tunakuletea habari kwa ufupi za afya, maji safi na salama na biashara.

Sauti
12'33"

22 MACHI 2022

Jaridani leo tunaangazia mkutano wa maji hapa makao makuu na kusalia kwenye siku ya maji tukimulika upatikanaji wa maji nchini DRC. Makala na mashinani tutasalia huko huko DRC, kulikoni?

Sauti
12'17"

21 MACHI 2023

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina nitasalia hapa hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa katika maandalizi ya mkutano wa maji wa mwaka 2023, unaoanza kesho kumsikia Fr. Benedict Ayodi kutoka shirika la kiamatifa la Wakapuchini wa Fraciscan ambao watakuwa na mjadala maalum kuhusu haki ya maji kwa wote katika mkutano huo. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo zikiwemosiku za UN, UNCTAD na Burundi.  Mashinani tunakuletea ujumbe kuhusu misitu.

Sauti
12'48"

20 MACHI 2023

Hii leo katika jarida tunamulika upatikanaji wa huduma za maji na za usafi, siku ya furaha, kongamano la kiswahili Zanzibar, Tanzania na changamoto za maji yatokanyo ziwa Kivu mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.

Sauti
12'3"

17 MACHI 2023

Hii leo jaridani tunakuletea habari za WHO nchini Burundi na UNICEF eneo la Sahel. Makala tutamsikia mwanafunzi kutoka Tanzania ambaye ni mshiriki wa mkutano wa  67 wa  Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW67 na mashinani tutasalia hapa makao makuu kusikia ujumbe kuhusu haki ya maji.

Sauti
14'5"

16 MACHI 2023

Hii leo jaridani tunanasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kusikiliza mahojiano yetu na viongozi waandamizi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto huko Zanzibar Tanzania wanaoshiriki mkutano wa 67 wa hali ya wanawake duniani, CSW67 maudhui yakiwa matumizi ya dijitajitali katika zama za sasa za teknolojia kwa lengo la kusaidia wanawake na wasichana na hatimaye jamii. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo hali nchini Malawi baada ya kimbunga Freddy kuzuka nchini humo, Wakimbizi Ethiopia WHO na teknolojia UNCTAD. Katika kjifunza Klugha ya Kiswahili Dkt.

Sauti
13'23"

15 MACHI 2023

Hii leo jaridani tunakuletea tunaangazia vurugu nchini Syria ambapo ni miaka 12 kamili tangu machafuko yalipozuka; na ripoti ya ILO inayosihi nchi zote duniani ziboreshe mazingira ya kazi ya watendaji hao. Makala tutaelekea nchini Bahrain na mashinani nchini Geneva, kulikoni?.

Sauti
13'15"