Somalia: Mjumbe Maalum wa UM atoa mwito kwa upinzani kurudi kwenye mazungumzo
Mjumbe Maalum wa katibu mkuu kwa ajili ya Somalia Francois Lonseny Fall, alitoa miwto wiki hii, kwa serekali ya mtipo ya Somalia kualika makundi ya upinzani kujiunga na mkutano wa upatanishi unaoendelea hivi sasa huko Mogadishu.