WFP kufadhiliwa yuro milioni 105 na Kamisheni ya Ulaya
Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limepokea msaada wa yuro milioni 105 kutoka Kamisheni ya Ulaya zitakazotumiwa kusaidia huduma za kugawa chakula kwa umma muhitaji wa kimataifa katika 2006.