Tukigeukia sasa siku ya Lugha ya Kiswahili duniani itakayoadhimishwa Alhamisi ya wiki ijayo Julai 7 mmoja wa wakaazi wa Chukwani Zanzibar Ali Yusuf Mwarabu anasema hatua ya lugha hiyo kutambulika kimataifa kwanza ni Fahari kubwa kwa Wazanzibari lakini pia itakuwa ni fursa nzuri kwa wageni wanaoip
Baada ya siku tano za mijadala na maonesho mbalimbali, mkutano wa pili kuhusu baharí umefikia tamati huko Lisbon nchini Ureno ambako Miguel de Serpa Soares ambaye ni Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Ma
Hii leo jaridani Assumpta Massoi pamoja na Habari kwa ufupi kuhusu Ndui ya Nyani au Monkeypox anamulika pia kiswahili nchini Burundi. Je wafahamu miiko iliyokwamisha kiswahili kuchanua nchini Burundi?
Moja ya malengo ya Mkutano wa bahari unaoendelea Lisbon, Ureno, ni kujadili namna ambavyo dunia inaweza kuendelea kunufaika kiuchumi kutokana na uwepo wa bahari.
Tukiwa bado kwenye mkutano huo wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari, mbali ya kikao cha ngazi ya juu cha viongozi makundi mbalimbali yalianza kukutana mwishoni mwa wiki likiwemo kongamano la vijana.
Mabadiliko ya tabianchi yanaleta madhara kila kona ya dunia ikiwemo kupungua kwa viwango vya mvua na hivyo kuleta usumbufu mkubwa wa wakulima, mathalan nchini Mauritani kiwango cha mvua kilichokuwa kikinyesha miaka 30 iliyopita sasa wanapata robo tu ya kiwango hicho hali iliyowatesa wakulima na w
Huko Goma, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, wasanii vijana wanatumia sanaa ya upakaji kuta rangi kama njia mojawapo ya kuhamasisha jamii kuachana na ghasia sambamba na kueneza kauli za chuki.