KM apongeza maafikiano ya upatanishi katika Sudan
KM ameripotiwa kuyapongeza yale maafikiano ya upatanishi yaliofikiwa karibuni kati ya Serekali ya Sudan na kundi la waasi wa Eneo la Mashariki. Mapatano haya yaliongozwa na Serekali ya Eritrea na kutiwa sahihi mjini Asmara tarehe 14 Oktoba.