KM kuanzisha rasmi mfuko wa ujenzi wa amani
Ijumatano KM Kofi Annan alishiriki kwenye kikao maalumu cha kuanzisha Mfuko wa Ujenzi wa Amani wa UM utakaotumiwa kuyasaidia yale mataifa yanayoibuka kutoka hali ya uhasama kurudisha amani kwenye maeneo yao na kujiepusha na hatari ya kuteleza tena kwenye mapigano, vurugu na machafuko.