Hapa na Pale
KM ametoa taarifa maalumu, kwa kupitia msemaji wake, iliolaani vikali vitendo vya ukatili wa kukirihisha, ulioripotiwa kufanywa majuzi na waasi wa kundi la LRA katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK) na sehemu za Sudan Kusini. KM amesisitiza wafuasi wa LRA wanalazimika kuhishimu na kufuata