Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kujiuzulu kwa Raisi wa Usomali kwapongezwa na Mjumbe wa KM

Kujiuzulu kwa Raisi wa Usomali kwapongezwa na Mjumbe wa KM

Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Ahmedou Ould Abdallah Ijumatatu ametangaza mwito unaohimiza kuwepo “ushikamano na umoja” kwa umma wa Usomali, kufuatia kujiuzulu kwa Raisi wa serikali ya mpito, Abdullahi Yusuf Ahmed.