Mwalimu Gaza aunda mazingira ya ustawi wa kihisia kwa watoto wanaokumbwa na vita
Kila asubuhi huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, Salwa hufungua mlango wa chumba ambacho ni darasa la muda na kimbilio salama kwa watoto wengi walio kwenye ulimwengu usiotabirika.