Walinda amani 6 wa UNISFA wauawa Sudan Mkuu wa UN amelaani vikali
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali shambulio la ndege zisizo na rubani au droni lililolenga kituo cha vifaa vya kikosi cha muda cha Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Abyei jimbo linalogombaniwa baina ya Sudan na Sudan Kusini UNISFA.