Mkasa mwingine wa ajali ya meli Atlantiki wadhihirisha hali ya kukata tamaa kwa waathiriwa: UNHCR/IOM
Habari za mkasa mwingine wa ajali ya meli katika ufuo wa Mauritania ni dalili tosha ya watu waliokata tamaa wanaoendelea kukabiliwa na hali hiyo wanapojaribu kukimbia mapigano, limesema leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.