Sasa tunaona mkataba mpya Sudan Kusini ni wetu sote na si serikali pekee- Mkimbizi wa ndani
Nchini Sudan Kusini harakati zinaendelea za kuhakikisha mkataba mpya wa amani uliotiwa sain mwezi Septemba mwaka jana huko Addis Ababa Ethiopia unakuwa na mashiko mashinani ili kila mtu aweze kushiriki na hatimaye amani ya kudumu na endelevu iweze kupatikana kwenye taifa hilo. John Kibego na ripoti kamili.