Sioni sababu ya ng'ombe kuwa thamani zaidi kuliko mtoto wa kike - Mkazi Sudan Kusini
Nchini Sudan Kusini, wakazi wa jimboni Bahr-el-Ghazal wameelimishwa jinsi ya kuripoti matukio ya ukatili wa kingono na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake, tukio ambalo limechagizwa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo,