Nimevunjika moyo na mwelekeo wa haki za binadamu duniani - Bechelet
Mwaka mmoja baada ya kushika jukumu la ukamishna wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet amesema hakutarajia kuwa itakuwa kazi rahisi, lakini amevunjwa moyo kutokana na mwelekeo wa haki za binadama hivi sasa. Assumpta Massoi na ripoti kamili.