Wakimbizi 183 waliokuwa Chad wapata makazi mapya Ufaransa:IOM
Wakimbizi 183 waliotokea Sudan Kusini na Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR na kusaka hifadhi nchini Chad , leo wamewasili Ufaransa kwa ajili ya makazi mapya kupitia mpango wa shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.