Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.
Mabadiliko ya Tabianchi
Dola bilioni 2.54 zahitajika 2023 kukabiliana na dharura za kiafya duniani: WHO
Shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO leo limezindua ombi maalum la kifedha ili kukabiliana na dharura mbalimbali za kiafya duniani zinazowakabili mamilioni ya watu.
Guterres awasili Cape Verde kwa mkutano wa bahari na vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi
Je, nchi inawezaje kupata mustakabali endelevu wakati asilimia 99.3 ya eneo lake ni maji? Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amewasili leo Jumamosi huko Cabo Verde ili kuangalia baadhi ya majibu na suluhu bunifu zinayoendelea katika taifa hilo la visiwa 10 vilivyoko katikati ya bahari ya Atlantiki.
Mashirika ya UN yanavyohaha kuwasaidia waathirika wa mizozo na ukame Baidoa Somalia
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO inasema idadi ya milipuko ya magonjwa iliyoripotiwa na dharura za kiafya zinazohusiana na tabianchi katika Ukanda wa Pembe ya Afrika zimefikia kiwango cha juu zaidi kuwahi kutokea karne hii, na hivyo kuzidisha janga la kiafya katika eneo ambalo watu milioni 47 tayari wanakabiliwa na njaa kali.
Guterres atoa onyo kuwa hatuwezi kutatua zahma zinazotukabili katika dunia iliyogawanyika bila mshikamano
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema dunia haiwezi kutatua changamoto kubwa inazokabiliwa nazo hivi sasa kuanzia mabadiliko ya tabianchi, vita ya Ukraine, mdororo wa uchumi na athari zinazoendelea za janga la COVID-19 katikia hali ya sasa ya mgawanyiko na kutokuwa na mshikamano hivyo wakati wa kufumbia macho changamoto hizi umepita na wanaochangia wawajibishwe.
Hatuwezi kutatua zahma zinazotukabili katika dunia iliyogawanyika bila mshikamano: Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema dunia haiwezi kutatua changamoto kubwa inazokabiliwa nazo hivi sasa kuanzia mabadiliko ya tabianchi, vita ya Ukraine, mdororo wa uchumi na athari zinazoendelea za janga la COVID-19 katikia hali ya sasa ya mgawanyiko na kutokuwa na mshikamano hivyo wakati wa kufumbia macho changamoto hizi umepita na wanaochangia wawajibishwe.
Mashirika 5 ya UN yaunganisha nguvu kushughulikia tatizo la watoto kuwa na uzito usiolingana na urefu wa miili yao
Mashirika hayo matano ya Umoja wa Mataifa ni lile la afya ulimwenguni, WHO, la kushughulikia masuala ya watoto UNICEF, Mpango wa chakula duniani WFP, Chakula na Kilimo FAO pamoja na lile linaloshughulikia wakimbizi UNHCR.
UN na Pakistan waitaka jumuiya ya kimataifa kuwasaidia waathirika wa mafuriko kujikwamua
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa leo akizungumza kwenye mkutano wa ngazi ya juu wa kimataifa kuhusu kujenga mnepo dhidi ya mabadiliko ya tabianchi Pakiastan, ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuwianisha"Hatua za kishujaa za watu wa Pakistani na juhudi zetu wenyewe na uwekezaji mkubwa wa kuimarisha jumuiya zao kwa ajili ya siku zijazo".
UNCTAD limesema mwaka 2022 umekuwa mgumu ukiziacha familia nyingi zikihaha kuweka mlo mezani
Kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo UNCTAD imesema mwaka huu wa 2022 umekuwa mgumu sana ambapo familia nyingi zimekuwa zikihaha kuweka mlo mezani na kujikimu hadi mwisho wa mwezi, lakini kuna suluhu na suluhu hizo zinapaswa kuwa za kimkakati na za kimataifa.
Kauli hiyo ni kwa mujibu wa Rebeca Grynspan katibu mkuu wa UNCTAD akihojiwa katika kipindi maalum cha UNCTAD Tradecast kuhusu kumalizika mwaka huu wa 2022 na kinachotarajiwa mwakani.
Mwaka 2022 umekuwa mgumu ukiziacha familia nyingi zikihaha kuweka mlo mezani: UNCTAD
Kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo UNCTAD imesema mwaka huu wa 2022 umekuwa mgumu sana ambapo familia nyingi zimekuwa zikihaha kuweka mlo mezani na kujikimu hadi mwisho wa mwezi, lakini kuna suluhu na suluhu hizo zinapaswa kuwa za kimkakati na za kimataifa.
Athari za ukame Pembe ya Afrika, WHO na wadau waingilia kati kupambana na utapiamlo mkali
Karomoja, moja ya mikoa nchini Uganda, kaskazini mashariki mwa nchi, Uganda inakopakana na Sudan na Kenya kama ilivyo kwa maeneo mengine katika ukanda huo wa Pembe ya Afrika, nako kumeathiriwa na ukame mkali na hivyo kuyumbisha upatikanaji wa chakula.