17 Novemba 2021
Ni Jumatano ya tarehe 17 mwezi Novemba mwaka 2021 karibu kusikiliza jarida Assumpta Massoi anakuletea mada kwa kina maalum ikiangazia namna watoa huduma ya chakula wanavyojiimarisha kiuchumi na kujikinga na janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19
Pia utasikia muhtasari wa habari ikiwemo salamu za rambirambi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwenda kwa wananchi wa Uganda.